Thursday 16 March 2017

Rais Dkt. Magufuli ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge).|Soma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi na kumsimamisha kazi Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge) Bw. Uledi Mussa.



0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top