Mwanzo
Habari
Magazeti
Michezo
Burudani
Video
Picha
Kazi
Nunua/Uza
Kurasa
Faragha
Kanusho
Matangazo
Mawasiliano
Sunday, 9 October 2016
Rais Magufuli afanya uteuzi mpya TCRA, amemuteua Mhandisi Kilaba kuwa Mkurugenzi.
Rais John Pombe Magufuli amemteua Mhandisi James Mitakayakingi Kilaba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Mhandisi Kilaba alikuwa akikaimu nafasi hiyo, baada ya uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Dr. Ally Simba kutenguliwa.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi amesema kuwa uteuzi huo ulianza jana Jumamosi 09 October, 2016.
0 comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Contact Form
Name
Email
*
Message
*
Like Us on Facebook
Popular Posts
MAGAZETI: Habari kutoka magazetini leo January 9, 2017.|Soma
Labels
Burudani
Habari
Kazi
KwilasaTV
Magazeti
Michezo
Picha
My Video
Mobile Ad
Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Blogger Templates
Scroll To Top
0 comments:
Post a Comment