Wednesday, 17 May 2017

Headlines: JPM: Mkataba TBC, Startimes upitiwe upya| Siri ya majaji kuacha kazi| TAKUKURU kuwachunguza vigogo Elimu| Hoja za jeshi zavuruga hotuba ya upinzani| OCD wa Uvinza auawa nyumbani kwake Dar| Wabunge waungana kutetea bajeti Ulinzi| Waziri wa JK Kortini| Yanga yamaliza kazi ubingwa Ligi Kuu Bara.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumatano May 17,2017.|Zipitie

Soma zaidi

Tuesday, 16 May 2017

Headlines: Waziri wa JK atishwa kwa risasi| Vitabu feki vyawaponza vigogo Elimu| Magufuli ang'oa mzizi wa miaka 44 Dodoma| Jinamizi la Lowassa bado laitesa CCM.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumanne May 16,2017.|Zipitie

Soma zaidi

Friday, 12 May 2017

Headlines: Chadema, CCM waumizana| Wabunge CCM wazidi kunyukana| Kauli za Nape, Kitwanga zatibua nyongo bungeni| Zuma ashusha neema| Majaliwa: Sukari ipo ya kutosha| Afa kwa kuanguka toka ghorofa ya 16| Wabongo kuitwa ajira Afrika Kusini.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Ijumaa May 12, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Wednesday, 10 May 2017

Headlines: Vyeti feki vyatikisa madaktari, wauguzi Muhimbili| Watano wa familia moja wafa kwa kuangukiwa na mti| Maeneo matatu kikwazo Hotuba ya Lema bungeni| Mzazi: Taifa limepoteza daktari ajali ya Karatu| Mvua yaua familia ya watu watano Arusha| Waziri atajwa sakata la vyeti| Ajira 4,000 zaiva jeshi la Polisi na Magereza| Dk. Shein avutiwa juhudi za Djibouti kuimarisha uchumi| Nilishuhudia gari ikipaa hadi korongoni.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumatano May 10, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Tuesday, 2 May 2017

Headlines: Udhibiti kodi utapunguza makali kwa wafanyakazi| Magufuli awageukia waliodanganya umri| Magufuli awapa neema tano wafanyakazi nchini| Dar waomba vyeti feki sekta binafsi navyo vichunguzwe| Vyeti feki vyaua wengine waugua ghafla, kizaazaa maofisini leo| Lissu ataja adui wa wafanyakazi| Dk. Shein atangaza neema zaidi.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumanne May 2, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Monday, 1 May 2017

Headlines: Tetemeko lajirudia tena Kagera| Lissu awasha moto| Magufuli: Niombeeni urais usinipe kiburi| Orodha ya vyeti feki utata mtupu, zahanati Dar yakumbwa| Mbunge na Meya wa Moshi waambiwa hawakualikwa Ikulu, waishia mlangoni| Mvua zaleta maafa Pemba.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumatatu May 1, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Wednesday, 26 April 2017

Headlines: Mgonjwa ajirusha kutoka ghorofani Muhimbili| Mapya yaibuka bosi UN| Wabunge wagoma kukatwa 30,000/-| Lissu pasua kichwa| Mrembo azusha tafrani bungeni| Siri kilichomng'oa bosi wa UNDP zabainika| Ndegevita kupamba Muungano Dodoma| Atakayetoza kupima malaria kutumbuliwa| Kambi ya Lipumba wajianika hadharani| Muungano watimiza miaka 53.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumatano April 26,2017.|Zipitie

Soma zaidi

Friday, 21 April 2017

Headlines: Uhai wa Ben Saanane utata| Mahakama yatoa hati Masogange asakwe akamatwe| Madai ya Tucta yatua kwa JPM| Lowassa alaza zege Bungeni Dodoma| Sakata la Lugumi halijachacha| REA yazuiwa nguzo, transfoma za nje| Magufuli kupeleka walimu wa kufundisha Kiswahili Rwanda| Kisa Lowassa uwaziri Mwakyembe rehani| Sakata la Richmond laibuka upya| Majaliwa ataka vyombo vya dola viaminiwe.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Ijumaa April 21, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Thursday, 20 April 2017

Headlines: Wabunge wahofia njaa| Mashirika manne yafuja bilioni 289/-| Daladala yagonga treni Dar, mmoja afriki dunia| Ukawa waichambua Serikali ya Magufuli| Dk Mwakyembe Joshua Nasari wavurugana| Spika Ndugai ahoji Bashite ni nani?| Wabunge wamtolea uvivu JPM| Usalama wa Taifa wazuiwa bungeni| Madaktari 258 'Kenya' waajiriwa Tanzania| Mtei amfurahia Rais Magufuli.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Alhamisi April 20, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Wednesday, 19 April 2017

Headlines: Sakata vyeti feki lachukua sura mpya| Wodi ya Wazazi Muhimbili yafurika| Mauaji Polisi Kibiti yatua Bungeni| Utekaji ulivyofunika Bajeti ya Waziri Mkuu| Wapinzani wasema waliotumbuliwa wanalipwa Sh 480 milioni kwa mwezi| Tamisemi yabeba 20% ya bajeti kuu| Lipumba ambeba Slaa CUF| Chnagamoto ufanyaji biashara zaainishwa| Gonjwa la ajabu linavyoua nchini.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumatano April 19, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Tuesday, 18 April 2017

Headlines: Mwigulu Viongozi acheni kuonea wanyonge| CAG aibua mapya sekta ya elimu| Askari Magereza mbaroni kwa kumpa mimba mwanafunzi| Mauaji polisi nane yazuia wana-CCM kuomba nafasi 2,000 za uongozi| Bajeti tano ngumu zaja| CAG aanika madudu NIDA| Mbaya wa Nape kitanzani| Sugu: Viongozi wa dini hampo salama| Polisi kimya kimya| Spika afunguka kilio cha Mbowe| Utabiri wa Dk. Slaa Chadema watimia| Polisi yakiri vita dhidi ya ukahaba vigumu.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumanne April 18, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Sunday, 16 April 2017

Headlines: Idadi ya vyeti feki inatisha| Mwigulu ashtushwa wananchi Kibiti kufurahia polisi kuuawa| Kilaini: Hata sisi tunahofia kutekwa| Wabunge CCM wambana Prof Kabudi kuhusu Katiba Mpya| JPM aisimamisha TCU kupanga wanafunzi| Kiama cha Bashite| JPM awaweka roho juu watumishi.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumapili April 16, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Saturday, 15 April 2017

Headlines: Baba wa Ben Saanane asema wamegonga mwamba| Mwanahabari Isango afariki dunia Singida| Mauaji ya Polisi 8 Si ujambazi wa kawaida| Mch. Rwakatare arudi bungeni tena| Polisi yatangaza operesheni maalumu Kibiti| Serikali: Hakuna ubaguzi utoaji hatimiliki za ardhi| CAG amtega JPM| JPM, CCM ualia na mauji ya askari.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumamosi April 15, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Friday, 14 April 2017

Sekretarieti ya Maadili ya Umma yaanza kumkaanga RC Dar| Ripoti ya CAG yaleyale| Mkapa: Viongozi kuweni wasikivu| Warioba asema kiongozi bora anapaswa kuheshimu kila mtu| Mauaji ya kutisha, polisi saba wauawa| Mapato yaimarika udhibiti wapwaya| Migodi yakwaa kashfa kutolipa kodi miaka 19| Halmashauri zabanwa kuhusu ajira mpya| Polisi yatoa onyo kali yaapa kukabiliana na uhalifu| Pasaka ifufue viongozi wasiowajibika.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Ijumaa April 14, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Thursday, 13 April 2017

Headlines: JPM: Mtanikumbuka| Serikali haijui alipo Ben Saanane| Jinsi treni ya kisasa itakavyoleta miujiza| Mahakama yamfutia kesi Askofu Gwajima| Magufuli awajibu wagosi wa Kaya wimbo wa dereva| Waitara asema Bashe, Lema, Nape watatekwa| Roma Mkatoliki aacha maswali 1,000 tata| Masuala ya usalama viachieni vyombo vya dola| Sitasikiliza maneno ya mtu-Rais Magufuli.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Alhamisi April 13, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Wednesday, 12 April 2017

Headlines: Mtikisiko bungeni| Rais Magufuli: Sijaona watu wanafungwa kwa rushwa| Utekaji kaa la moto| Ripoti Benki ya Dunia yaipaisha Tanzania| Wabunge CCM wajilipua| Zitto: Usalama wa Taifa wanahusika utekaji| Makonda akwaa tuhuma mpya kumtisha mbunge| UN yaahidi kuiunga mkono Zanzibar.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumatano April 12, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Tuesday, 11 April 2017

Headlines: Wabunge wahofia maisha yao| Wabunge walia ukata bajeti ya Bunge| Nyumba 100 Chalinze zaharibiwa na mvua| JPM ateua kamati nyingine kuchunguza mchanga| Mapokezi ya Nape gumzo| NSSF yaamua kuachana na magari mashangingi| Roma asimulia siku 3 za hofu, kihoro| Mfumuko bei za bidhaa nchini wazidi kushika kasi| Mapinduzi II yafunga gati Comoro.























MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumanne April 11, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Monday, 10 April 2017

Headlines: Matukio utekaji yamtisha Gwajima| Hakuna wa kunitoa CUF - Maalim Seif| Utekaji waibua kutoweka kwa msaidizi wa Mbowe| Mawaziri wabeza kauli ya Mbowe| Gwajima amchana Diamond| Wiki ya mafisadi kuumbuka| Hali mbaya Mto Ruaha Mkuu yaitishia Serikali| Kamilisheni barabara kwa wakati| Kilichowaponza Wenje, Masha EALA hiki hapa.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumatatu April 10, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Sunday, 9 April 2017

Sarakasi sakata la Roma Mkatoliki| Nape: Tutapata shida 2020| Mbowe, Mdee wafichua walichohojiwa kwa saa mbili| Jinsi JPM alivyowakimbiza majangili| Nape atema nyongo| Roma aonekana akiwa amejeruhiwa| Nafuu inakuja-Samia| Ukata unavyoliza wabunge kikatili| Wamiliki viwanda wapata neema| Sirro atangaza kiama wauza CD za kigaidi| Mvua ya saa sita yazua balaa Bukoba.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumapili April 09, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Saturday, 8 April 2017

Takukuru: Tumepata 'meno' kushughulikia walioficha fedha nje| Ndugai Chadema vitani| Sakata la Roma Mkatoliki kiza kinene| Siri kifo cha Bosi wa Freemasons| Mdee: Niliwahi Dodoma kuepuka kukomolewa| Bunge taabani kifedha| Sababu za Faru Fausta kutumia Sh760 milioni kwa mwaka zatajwa| Nape kufichua kilichomkuta kwa JPM| Wa mil.7 kwa dakika kuondoa vigogo TRA| Dk. Shein aongoza kumkumbuka Mzee Karume.

MAGAZETI: Habari za Magazetini leo Jumamosi April 08, 2017.|Zipitie

Soma zaidi

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top