Friday 17 March 2017

Magufuli amelifuta agizo la Mawakyembe la kuwa na cheti cha kuzaliwa kwa watakaofunga ndoa.|Soma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli amelifuta agizo lilitolewa jana 16 Machi, 2017 na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Mwakyembe linalotoa sharti la kuwa na cheti cha kuzaliwa kwa watu wote watakaofunga ndoa kuanzia tarehe 01 Mei, 2017.






0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top