Thursday 6 October 2016

Zoezi la Uhakikiki wa watumishi wa umma limeanza Nyamagana

 

Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA, imezinduaa zoezi la usajili wa watumishi wa umma katika wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza katika Shule ya Sekondari Mwanza , linalolenga kubaini na kutatua tatizo la watumishi hewa. 

Zoezi hilo limezinduliwa na mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mary Tesha Onesmo katika Shule ya Sekondari Mwanza kwa kuwahimiza watumishi wote wa umma kujitokeza na kusajiliwa kwa wakati ili zoezi hilo kukamilika kwa wakati uliopangwa ambapo litafanyika kwa muda wa wiki mbili na kumalizika Oktoba 17, 2016.

0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top