Tuesday 4 October 2016

Mamilioni ya fedha ya chimbuliwa huko Arusha

Imetokea huko Arusha wa kati wa zoezi la upanuaji barabara Mianzini jini humo baada ya
Tingatinga ililokuwa likiendesha zoezi kuboboa ukuta wa nyumba wa mkazi mmoja mtaani hapo ambapo ilionekana mifuko miusi ya plastic iliyokuwa na malioni hayo ya pesa yaliyokuwa yamechimbiwa chini ya ardhi na kutapakaa eneo lile na watu kuvamia kuanza kukusanya pesa hizo kadri  yao wa wezavyo.

Kwa habari nyingine zaidi usikose kutembelea hapa--->>>http://kwilasa4u.blogspot.com/

0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top