Tuesday 16 May 2017

Rais Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi watatu.|Soma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi, Ndg. Saidi Meck Sadiki, Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi na Ndg. Upendo Hillary Msuya.



0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top