Saturday 18 March 2017

Tundu Lissu Rais mpya wa TLS kwa ushindi wa asilimia 88.|Soma

Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), leo wamefanya uchaguzi wa kumchagua Rais pamoja na wajumbe wa ngazi mbalimbali za uongozi wa chama chao.

Uchaguzi huo umefanyika mjini Arusha ambako wanachama wa TLS wamekutana kutekeleza ratiba hiyo pamoja na kupanga mipango mbalimbali ya utendaji kazi wa chama hicho.

Matokeo ni kama ifuatavyo:

Urais: Kura zilizopigwa 1682

1. Tundu Lissu 1411 sawa na asilimia 88

2. Francis Stolla 64

3. Victoria Mandari 176

4. Godwin Mwapongo 64

Kwa upande wa nafasi ya Makamu wa Rais (TLS) mshindi ni Godwin Ngwilimi aliyekuwa Mwanasheria wa Tanesco na kutimuliwa kwa kupinga Escrow.

Council Members

1. Jeremiah Motebesya

2. Gida Lambaji

3. Hussein Mtembwa

4. Aisha Sinda

5. Steven Axweso

6. David Shilatu

7. Daniel Bushele

0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top