Saturday 18 March 2017

Rais Dkt. John Magufuli amekubali kutoa madaktari 500 kuipatia Kenya.|Soma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amekubali kutoa madaktari 500 kuipati Kenya watakaoisadia nchi hiyo kukabiliana na tatizo la uhaba wa madaktari.



Tazama VIDEO akitolea ufafanuzi wa maamuzi hayo:

 

0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top