Friday 17 March 2017

Taarifa ya TANESCO kuzima mfumo wa manunuzi kwa njia ya LUKU nchi nzima.|Soma

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa, Siku ya Jumapili Machi 19, 2017 kuanzia Saa 4 kamili Usiku, tutazima mfumo wa manunuzi kwa njia ya LUKU hadi Siku ya Jumatatu Machi 20, 2017 Saa 3 Asubuhi.


0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top