Friday 17 March 2017

Taarifa ya CCM kwa wanachama wake kwamba kimepokea mwaliko wa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa kufanya Uteuzi wa Wagombea wa nafasi za ujumbe katika Bunge la Afrika Mashariki.|Soma

Taarifa ya CCM kwa wanachama wake kwamba kimepokea mwaliko wa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa kufanya Uteuzi wa Wagombea wa nafasi za ujumbe katika Bunge la Afrika Mashariki, hii ikiwa kwa mujibu wa Ibara ya 50 ya Mkataba wa Afrika Mashariki.



0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top