Wednesday 19 October 2016

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, akanusha taarifa za kutenguliwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo

Kwenye mitandao ya kijamii leo October 19,2016 imesambaa taarifa kuhusu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli kutengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.



Kufuatia taarifa hiyo, Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa amekanusha taarifa hiyo akieleza kuwa taarifa hiyo siyo ya kweli imetengenezwa na waharifu hivyo amewataka wananchi kuipuuza.





0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top