Tuesday 14 March 2017

Ridhiwani ahojiwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya.|Soma

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete ahojiwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya. Kamishna William Siang’a amesema wanamhoji kila aliyetuhumiwa na ikibainika ana kosa anachukuliwa hatua.

Ridhiwani amedai amefurahi kupata fursa ya kueleza ukweli na imebainika hauzi wala kusafirisha dawa za kulevya.

0 comments:

Copyright © 2017 KwilasaNewsline | We Call Away| All Right Reserved|
Scroll To Top